Wanawake Tanzania wainua wanawake wenzao katika ujasiriamali kupitia mradi wa CookFund
Manage episode 415285788 series 2027789
内容由UN Global Communications (Digital Solutions Unit) and United Nations提供。所有播客内容(包括剧集、图形和播客描述)均由 UN Global Communications (Digital Solutions Unit) and United Nations 或其播客平台合作伙伴直接上传和提供。如果您认为有人在未经您许可的情况下使用您的受版权保护的作品,您可以按照此处概述的流程进行操作https://zh.player.fm/legal。
Nchini Tanzania mradi wa shirika la Umoja wa Mataifa la kuendeleza mitaji, UNCDF uitwao CookFund unaofadhiliwa na Muungano wa Ulaya umesaidia wajasiriamali hasa wanawake kuinua wanawake wenzao kwenye sekta ya matumizi ya nishati jadidifu na hivyo kutekeleza ajenda ya 2030 ya Umoja wa Mataifa ya sio tu kuondokana na umaskini bali pia kuhimili na kukabili mabadiliko ya tabianchi.
…
continue reading
100集单集